Facebook Fan Page Computer Tutorials News Blogging Internet Latest Posts

Today is:

News

News

You are Here: Home > News

Wakazi wa visiwa vya Zanzibar wamelalamikia uhaba wa vituo vinavyouza umeme

Wananchi wanaoishi katika visiwa vya Zanzibar wamelalamikia uhaba wa vituo vinavyouza umeme wa ZECO visiwani humo. Hayo tumeyashuhudia leo saa 2:00 usiku tulipotembelea kimoja kati ya vituo vitatu vikubwa kilichopo mtaa wa Kwa Mchina Mwanzo, mjini Unguja.

Wananchi hao ambao walikuwa wamepanga foleni ndefu katika kituo hicho, walionyesha manung'uniko yao wakisema uhaba wa vituo vya ZECO (Zanzibar Electricity Corporation) unawafanya wapoteze muda mwingi wakisubiri huduma. Walisema vituo vyote vipo maeneo ya mjini na kwamba vyote vipo katika wilaya moja ya Mjini Magharibi, hali ambayo inamlazimu mwananchi anayeishi shamba kusafiri umbali mrefu kuja mjini kununua umeme...... Learn more!

5th July 2014!

Mjknetten's popular news posts

Wakazi wa visiwa vya Zanzibar wamelalamikia uhaba wa vituo vinavyouza umeme! Wananchi wanaoishi katika visiwa vya Zanzibar wamelalamikia uhaba wa vituo vinavyouza umeme wa ZECO... Maalim Seif amewatia kitasa wanaotaka kuua ukawa! Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar na Katibu mkuu wa chama cha CUF, Maalim Seif Shariff Hamad, amesema mipango inayofanywa kwa ajili ya kusambaratisha...
Mbunge wa Nzega, Dr. Hamis kigwangalla asema hatowasusia fisi bucha! Mbunge anayeshikilia jimbo la Nzega mjini, katika wilaya ya Nzega mkoani Tabora, Dr. Hamis Kigwangalla, ametoa tamko rasmi juu ya taarifa zinazozidi... Wabunge wa upinzani wasusia mjadala wa bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini! Uhitimishaji wa mjadala wa Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini jana jioni ulizua tafrani kubwa bungeni, baada ya wabunge wa Kambi Rasmi...

More Posts: More news Sports news Music news

Advertisement!

About this blog's Author!

Mpiga Kabeya is a Computer teacher. He also enjoys coding professionally, highly experienced on HTML, JavaScript, Php, Css, VB Script, etc. He is also a professional graphics designer as well as.....
Check him on Google+!

Advertisement!

No comments:

Post a Comment